Jul 14, 2014
Jul 10, 2014
SHINDANO LA WANAWAKE WAREMBO VIBONGE HILI HAPA...CHECK OUT THIS BEAUTIFUL LADIES.
3:14 PM
No comments
Shindano la aina yake kwa kina dada.limeanza Tanzania.kwa wale wakina dada wanye makalio makubwa na huna pa kuyapeleka na kuishia kupigiwa mbinja na wanaume mtaani.Sasa ni wakati wako wa kupata pesa kwa makalio makubwa ulio jaaliwa .
Hili shindano limeanza huko nigeria ambako lili fanyika katika hoteli maarufu sana nchin hapo.Na mshindi alizawadiwa gari la kifahari.dada huyo alishinda kwa kuwa na makalio zidi wenzake karibu mara mbili ya makalio yao.
MOJA KWA MOJA CONCERT
2:32 PM
No comments
Jumamosi tukutane hapa Ukumbi wa Via Via "Jumamosi Tarehe 12 Julai 2014 katika “Moja Kwa Moja Concert” Live on Stage “Watengwa, Vatoloco pamoja na KCK Supremacy” alongside MC’s wengine wa kutosha jumamosi hii kuanzia saa Tisa Mchana mpaka Saa Tano Usiku kwa Kiingilio cha elfu Tano Tu mlangoni (5'000/= TSH) , Msanue na yule Moja Kwa Moja itakuwa vaibuuu Ariff, Powered by VIA VIA, Alliance Francaise,Wanene Ent, KCK Supremacy,Watengwa Recs, Majembe Recs, Noiz Arachuga na VMG Africa .Wasiliana na Mratibu wa Tamasha kwa nambari +255 785 508 359.
powerd by noizmaker
Subscribe to:
Posts (Atom)